
Pamoja na kusema hivyo, amesisitiza kuwa vijana wake wote wanatakiwa kufika mazoezini kesho asubuhi na kuendelea na ratiba ya mazoezi huku muda wa kupumzika siku moja baada ya mechi kama ilivyo kawaida ukiwa haupo.
"Kesho tutakuwa na mazoezi saa 4.30 asubuhi, tunatakiwa kuwa pale ili kufanya kazi kuonyesha hatupo kwenye hali nzuri.
"Tunahitaji mawazo chanya ya kutuongoza ili mechi ijayo wakiingia uwanjani wajue tunaenda kufanya kazi gani."
No comments:
Post a Comment