Powered By Blogger

Thursday, July 7, 2016

RONALDO AIFIKIA REKODI YA PLATINI


Pamoja na kuiongoza Ureno kushinda mabao 2-0 dhidi ya Wales na kutinga fainali ya Euro 2016, Cristiano Ronaldo amefunga bao lake la 9 katika michuano ya Euro.

Bao hilo la 9, maana yake amemfikia mfungaji bora wa miaka yote wa michuano ya Euro, Michell Platini wa Ufaransa.


Ronaldo amebakiza mchezo mmoja dhidi ya kati ya Ujerumani au wenyeji Ufaransa. Kama atafunga basi atakuwa ameweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Euro.

No comments:

Post a Comment