ARSENE WENGER NA VIJANA WAKE HAWA HAPA, MAANDALIZI YA MSIMU MPYA WA LIGI KUU ENGLAND YAANZA
Pamoja na kwamba inawakosa baadhi ya wachezaji wake wanaoshiriki michuano ya Euro Arsenal imeanza maandalizi ya Ligi Kuu England.
Walio katika michuano ya Euro baada ya timu zap kufuzu hatua ya nusu fainali ni Aaron Ramsey, Mesut Ozil, Olivier Giroud na Laurent Koscielny.
Lakini wengine wameanza maandalizi ya msimu mpya chino ya Kocha Arsene Wenger.
No comments:
Post a Comment