Powered By Blogger

Wednesday, July 6, 2016

ARSENAL WAANZA MAANDALIZI YA MSIMU UJAO WA LIGI KUU YA ENGLAND



Pamoja na kwamba inawakosa baadhi ya wachezaji wake wanaoshiriki michuano ya Euro Arsenal imeanza maandalizi ya Ligi Kuu England.

Walio katika michuano ya Euro baada ya timu zap kufuzu hatua ya nusu fainali ni Aaron Ramsey, Mesut Ozil, Olivier Giroud na Laurent Koscielny.

Lakini wengine wameanza maandalizi ya msimu mpya chino ya Kocha Arsene Wenger.









No comments:

Post a Comment